<gallery>


Abdallaza Abbas edit

Ni mmoja wa mapromota wanaokuza mziki pwani,hapa namzungumzia Abdallaza Abbas ambaye mkaazi wa Mombasa, Kenya but anafanyia kazi Switzerland .Licha ya yeye kuwa nje ya nchi bado anapenda na kukuza mziki wa pwani. Utakubaliana nami kuwa Abbasy amekuwa mstari wa mbele kuweka mziki wa wasanii wetu hasa wanaochipukia katika mitandao na kuhakikisha unafika ulimwengu mzima .Promota huyu anawafanyia kazi wasanii kama Whyne P Cmb Bfm ,Big Brown Cmb Bfm na K Town Connection yote